iqna

IQNA

khzan al-Irfan fi Tafsir al-Quran
Tafsiri za Qur'ani Tukufu na Wafasiri/ 9
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa Tafsiri ya Qur'ani Tukufu ya Makhzan al-Irfan fi Tafsir al-Qur'an alikuwa ni mwanamke ambaye alifikia kiwango cha juu kabisa katika elimu ya Fiqh na alikuwamwanamke wa kwanza kuandika tafsiri nzima ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476160    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28